Friday, May 6, 2011

RAis wa TFF katika uzinduzi wa mpango wa kutokomeza malaria

Rais wa TFF Leodegar Chilla Tenga akiwa na kocha mkuu wa Taifa Stars Jan Poulsen kwenye hafla ya uzinduzi wa mpango wa Tanzania Tourism Unites Against Malaria katika hoteli ya Movenpik jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo. Picha na John Bukuku wa Full Shangwe

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
The Official Blog of Tanzania Football Federation