
Mechi namba 122 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Kagera Sugar iliyochezwa Machi 29 mwaka huu Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam imeingiza sh. 23,637,000.
Baada ya kuondoa asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ambayo ni sh. 3,605,644 fedha iliyobaki kwa mgawanyo kwa pande zote husika ni sh. 20,031,355.93.
Jumla ya gharama za awali za mchezo ni sh. 3,635,600 wakati kila timu ilipata sh. 4,918,726.78. Uwanja sh. 1,639,575.59, TFF sh. 1,639,575.59, gharama za mchezo sh. 1,639,575.59, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) sh. 163,957.56, Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 655,830.24 na Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) sh. 819,787.80.
Baada ya kuondoa asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ambayo ni sh. 3,605,644 fedha iliyobaki kwa mgawanyo kwa pande zote husika ni sh. 20,031,355.93.
Jumla ya gharama za awali za mchezo ni sh. 3,635,600 wakati kila timu ilipata sh. 4,918,726.78. Uwanja sh. 1,639,575.59, TFF sh. 1,639,575.59, gharama za mchezo sh. 1,639,575.59, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) sh. 163,957.56, Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 655,830.24 na Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) sh. 819,787.80.
0 comments:
Post a Comment