Tuesday, April 5, 2011

makamu wa rais akutana na dr asha-rose migiro na ujumbe wake leo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal kulia, akizungumza na Ujumbe kutoka Umoja wa Mataifa ulioongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Dk. Asharose Migiro wakati Ujumbe huo ulipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo kwa ajili ya mazungumzo.
Picha na mdau Amour Nassor wa VPO.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
The Official Blog of Tanzania Football Federation