Madaraka Selemani 'Mzee wa Kiminyio' akiongea kwa niaba ya wachezaji wa Simba wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za TFF uwanja wa Karume jijini Dar es salaam mchana huu. Miamba hawa watapambana Jumamosi katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam katika mchezo wa hisani kuchangia waathirika wa mabomu Gongo la Mboto
Mwanahabari Eddo Kumwembe akiwapatanisha wasemaje wa Yanga Loius Sendeu (shoto) na Clifford Ndimbo wa Simba walipotaka kuzichapa kavu kavu kufuatia ubishi wa nani ataibuka kidedea Jumamosi










0 comments:
Post a Comment