Tuesday, March 15, 2011

Veterani wa Simba na Yanga kukipiga Jumamosi katika mchezo wa hisani kuchangia waathirika wa mabomu Gongo la Mboto

Madaraka Selemani 'Mzee wa Kiminyio' akiongea kwa niaba ya wachezaji wa Simba wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za TFF uwanja wa Karume jijini Dar es salaam mchana huu. Miamba hawa watapambana Jumamosi katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam katika mchezo wa hisani kuchangia waathirika wa mabomu Gongo la Mboto
Afisa habari wa Simba SC Clifford Ndimbo
akitangaza kikosi cha veterani wa Msimbazi

Afisa habari wa Yanga FC Loius Sendeu
akitangaza kikosi cha veterani wa Jangwani

Mratibu wa mpambano huo Suleiman
Mathew akifafanua jamb
o
Mwanahabari Eddo Kumwembe akiwapatanisha wasemaje wa Yanga Loius Sendeu (shoto) na Clifford Ndimbo wa Simba walipotaka kuzichapa kavu kavu kufuatia ubishi wa nani ataibuka kidedea Jumamosi
Kamati ya maandalizi. Kati ni Mwenyekiti Geoffrey shoto in Katibu Moses Mkandawire na kulia ni Makamu Mwenyekiti Ali Martin Maliva
Afisa Habari wa TFF Boniface Wambura (kulia) akiwa na waandaazi na maofisa habari wa Yanga na Simba mara baada ya mkutano na waandishi wa habari mchana huu

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
The Official Blog of Tanzania Football Federation