TFF inawakumbusha wanachama wake (vyama vya mpira wa miguu vya mikoa, vyama shiriki na klabu za Ligi Kuu) kuwa haitambui mapinduzi ya uongozi kwani ni kinyume cha katiba zao. Kwa wanachama ambao kuna nafasi zilizo wazi baada ya viongozi kujiuzulu wanatakiwa kuzijaza kwa kufanya uchaguzi.
0 comments:
Post a Comment