Mchezo namba 122 wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Kagera Sugar uliokuwa uchezwe Machi 27 mwaka huu Uwanja wa Uhuru umesogezwa mbele kwa siku moja na sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu.
Mchezo huo umesogezwa ili kutoa fursa kwa wachezaji watano wa Simba walioko Taifa Stars kujiunga na timu yao baada ya mechi dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati itakayochezwa Machi 26 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mchezo huo umesogezwa ili kutoa fursa kwa wachezaji watano wa Simba walioko Taifa Stars kujiunga na timu yao baada ya mechi dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati itakayochezwa Machi 26 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment