
Klabu zote 12 ambazo timu zao zinashiriki katika Ligi Kuu ya Vodacom zimelipwa mgawo wa mwisho wa nauli kwa msimu huu wa 2010/2011. Kila klabu imepokea hundi ya sh. milioni 5.2. Kwa msimu mzima kila klabu imepata jumla ya sh. milioni 24.5 kwa ajili ya nauli. Fedha hizo ni sehemu ya udhamini wa Kampuni ya Vodacom kwenye Ligi Kuu.
0 comments:
Post a Comment